SERIKALI YATENGA BILIONI 263 KUBORESHA HOSPITALI YA RUFAA YA DODOMA

Na. Mwandishi wetu- Dodoma Serikali ilitoa Shilingi Bilioni 263 ya fedha za ahueni ya UVIKO-19 ili kuboresha Hospitali za rufaa za mikoa kati ya fedha hizo hospitali ya rufaa ya mkoa wa Dodoma ilipewa kiasi cha bilioni 4.6 ambazo zimeweza kujenga jengo la wagonjwa mahututi litakalokuwa na uwezo wa kulaza wagonjwa 50 kwa wakati mmoja